Loading...
Logo Zenevenes
Login
Logo Zenevenes
  • Home
  • Games

    • Logo Termo/Wordle Termo - Wordle 🇧🇷
    • Logo Termo/Wordle Colmeia - Spelling Bee 🇧🇷
  • Quotes
  1. Quotes
  2. Autores
  3. Enock Maregesi
Voltar

Imani ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana na hupeleka watu kwenye ukweli. Kuamini hupotosha, na ni nia ya kudharau kinachoweza kujulikana.

truth faith believe untruth

Ukitaka kujua maana halisi ya maisha yako kuwa tayari kufanya vitu vikubwa vitakavyohitaji nguvu ya Mungu kuvikamilisha – na kudumu katika maisha hayo kwa kafara ya maombi.

god sacrifices prayers

Wanasayansi wanasema hakuna Mungu kwa sababu hawawezi kumwona wala kumgusa. Lakini nao hawana akili kwa sababu hawawezi kuiona wala kuigusa.

god intelligence scientists akili mungu wanasayansi

Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako – ya mwingine Mungu anayafanyia kazi – hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.

life god sin permission god-s-plan mungu dhambi kibali maisha mpango-wa-mungu

Wewe kuingilia mambo ya John ni sawa na kusema, ‘Mungu umeshindwa hebu ngoja na mimi nijaribu; ngoja niingilie kati kukusaidia juu ya maisha ya John Doe.’ Hiyo ni dhambi. Tena ni dhambi kubwa. Unajifananisha na Mungu; kwamba Mungu wa John Doe ameshindwa kwa hiyo mungu wewe ndiye utakayemtatulia matatizo yake. Amri kuu ya kwanza ya Mungu inasema, ‘Usiwe na miungu mingine ila mimi.’ Kuingilia mambo ya John tayari umevunja amri ya kwanza ya Mungu kwa kujifanya Mungu. Mungu ana mpango na maisha ya John, na anatumia matatizo yake kumfikisha kwenye takdiri aliyompangia. Hivyo, wewe si Mungu, acha Mungu afanye kazi yake. Mungu akikuruhusu kuingilia kati, yaani John akiamua kwa hiari yake mwenyewe kukuomba msaada wa mawazo au ushauri, maana yake ni kwamba Mungu amekuchagua wewe kuwa sehemu ya mafanikio ya John Doe.

life god sin help plan mungu dhambi maisha mpango msaada

Mungu ana uwezo wa kukuwekea ulinzi kulia na kushoto yaani anayekulinda naye ana mlinzi wake. Lakini wakati mwingine anaacha ufuate kile ambacho moyo wako unataka kwa sababu hataki kukulazimisha ijapokuwa uwezo huo anao. Mungu hakukuumba kuwa roboti. Alikuumba kuwa huru kuchagua mema au mabaya usije ukamlaumu baadaye kwamba ulimchagua yeye kwa sababu hukuwa na uhuru. Msikilize Roho wa Mungu, kabla na katika kila jambo unalofanya.

god heart defence mungu good-or-evil mema-au-mabaya moyo robot roboti ulinzi

Mungu hatakubali kuwa na mtu katika ufalme wake ambaye hatakubali kutawaliwa naye. Usikubali kutawaliwa na Ibilisi, kubali kutawaliwa na Mungu. Ni jukumu letu kuanza kuishi sasa kama vile tutakavyoishi mbinguni. Shetani anataka uwe na hekima ya duniani ili akupumbaze. Lakini hofu ya Mungu ndiyo msingi wa hekima ya kweli. Ukitaka asikupumbaze, pokea Roho ya Mungu kwa kubatizwa. Ukiipokea Roho ya Mungu utajua mambo ya Mungu, ambayo dunia haiwezi kujua.

heaven wisdom lucifer kingdom fear-of-god hekima hofu-ya-mungu ibilisi mbinguni ufalme

Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.

wisdom food hatred enemy bitterness anger revenge blessings jesus lord cruelty adversity trials chaos good teachings water hunger doctrine king-solomon hekima adui bwana chakula chuki embers fussiness hasira heavy-load inda kisasi kiu mafundisho mafutu majaribu maji makaa-ya-moto mathayo-5-44-45 matthew-5-44-45 mema mfalme-sulemani mithali-25-21-22 mzigo-mzito njaa proverbs-25-21-22 shari thawabu thirsty ukatili vurugu yesu

Heshima hujengwa kwa hekima, haijengwi kwa misuli.

wisdom respect muscles hekima heshima misuli

Kuamini (mbali na imani, ambayo ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana) ni kwa ajili ya vitu usivyoweza kuvielezea. Unaamini kwamba siku moja dawa ya UKIMWI au saratani itapatikana mahali fulani, ilhali huwezi kufanya majaribio ya kisayansi kulithibitisha hilo. Unaweza kusubiri hata miaka mia, lakini kama bado dawa haijapatikana, unaweza kusubiri hata miaka mingine mia. Kuamini ni kujifanya kujua (na mara nyingi kujifanya kujua ni uongo) na kuamini hakuhitaji maarifa. Kujua kunahitaji maarifa na ni kuamini unakoweza kukuthibitisha. Ukiniuliza kama simu yangu ipo mfukoni nitakwambia ndiyo ipo, kwa sababu nitaingiza mkono mfukoni na kuitoa na kuiona. Siamini kama ipo mfukoni, najua.

faith believe phone pretend cancer aids

Amri ya Kristo ilipima imani ya yule kipofu, ikiithibitisha na kuiimarisha. Bila kuchelewa au kusita, kipofu alitii amri ya Mungu: Alikwenda kuosha macho yake katika bwawa la Siloamu na aliona. Wengi wanaweza kuona ni kazi ya kipuuzi kwa mtu ambaye ni kipofu kufanya kazi ndogo kama hiyo ili aone. Lakini kwa vile alitii, kipofu alipona. Baraka huja kupitia utii. Kwa maana nyingine, kipofu alimtii Yesu bila kuona. Lakini matokeo yake, alipata kuona papohapo; ambapo baadaye, hatimaye, alipokea uponyaji halisi wa kiroho.

faith blind amri-ya-kristo amri-ya-mungu bwawa-la-siloamu divine-decree imani kipofu the-command-of-christ utii

Secure tomorrow today by sowing good seeds today and by watering them with faith and love to others.

love faith tomorrow seeds today others good-seeds secure-tomorrow-today

Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.

love friend peace poverty faith pride god enemy fight humans jesus-christ needs battle satan prayers mungu adui imani amani day-of-judgement elects mafuta-ya-dunia-hii majivuno maombi matatizo msalaba-wa-yesu-kristo oil-of-this-world pambana rafiki shetani siku-ya-mwisho tamaa-za-ulimwengu-huu the-cross-of-jesus-christ the-desires-of-this-world umaskini upendo vita wanadamu wateule yesu-kristo

Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.

truth faith fight sword free satan imani pambana shetani huru ukweli upanga

Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.

life faith god power grace problems key ability comfort-zone difficulty obstacles mungu maisha imani matatizo amani-ya-mungu deliberately dhiki dunia-imekata-tamaa god-almighty makusudi mwenyezi-mungu neema nguvu peace-of-god ufunguo uwezo vikwazo wakati-wa-raha world-has-given-up

Kuna nguzo saba ambazo hazina budi kuzingatiwa kama unataka kuheshimiwa na kuwaheshimu wengine. Kwanza kabisa jitambue: wewe ni nani na unafanya nini hapa duniani. Halafu, kabla ya kusema jambo lolote kwa mtu yoyote fikiria kwanza maana au madhara ya hilo unalotaka kulisema. Kisha jifunze tamaduni mbalimbali na watendee wengine kama vile unavyotaka kutendewa au kama vile wanavyotaka kutendewa. Jifunze kusamehe na kusuluhisha migogoro katika jamii unamoishi huku ukidumisha heshima na utu kwa binadamu wenzako. Jijengee imani kwa watu, punguza upendeleo, fanya kazi kama timu kwani hakuna ‘mimi’ katika umoja ila kuna ‘sisi’, na jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE kwa manufaa ya wote. Kuwa kiongozi katika kila jambo unalofanya na katika kila kitu unachofanya. Jitahidi kufanya jambo au kitu kwa usahihi kwa kadiri utakavyoweza.

faith respect humanity society human i cultures unity leader know-yourself we all accuracy team conflicts mimi heshima imani binadamu favouritism jamii jitambue kiongozi kuheshimiwa migogoro sisi tamaduni timu to-be-respected umoja upendeleo usahihi utu wote

Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.

faith song christianity christ jesus cross yesu messiah golgotha imani eloi-eloi-lama-sabakthani first-century imekwisha it-s-finished jesus-death karne-ya-kwanza kifo-cha-yesu king-david kristo maneno-saba masihi mfalme-daudi msalabani mungu-wangu my-god psalm-22 seven-words ukristo wimbo zaburi-22

Katika dunia ya leo ambapo mamilioni ya watu hutegemea utandawazi kupata pesa, kuwa na imani kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua au mtu mwenye nia mbaya na wewe ni kikwazo kikubwa cha maendeleo kwa sababu, karibu kila mtu unayekutana naye ni Shetani. Shetani ni mtu yoyote mwenye nia mbaya na wewe. Hivyo, kama uliwahi kuambiwa kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ni kitu kibaya futa imani hiyo. Utaachaje kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua wakati kila siku unamwomba Mungu akusaidie, na Mungu hutenda kazi zake pale tunapojisahau? La sivyo hutapata pesa unayotamani kupata katika maisha yako, na kamwe hutawaamini watu. Zaka huondoa laana ya mapato. Toa zaka kununua pepo uliyopewa na Mungu.

life faith god money development world satan paradise tithe mungu maisha malice globalization imani shetani curse-of-income dunia laana-ya-mapato maendeleo mamilioni-ya-watu millions-of-people mtu-usiyemjua nia-mbaya pepo pesa unanimous-person utandawazi zaka

Be nice to the environment. Be nice to animals. Be nice to people. If you do that, you will leave a mark on the world.

people kindness nice animals world kind environment mark dunia be-nice alama kuwa-mkarimu mazingira mkarimu ukarimu wanyama watu

If a leader for the right reasons is blessed by God, even the people he leads will be blessed by God as well. But if the leader is cursed by God because of iniquity, even the people he leads will be cursed as well.

people leader iniquity blessed-by-god cursed-by-god right-reasons

Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people about things that matter. If you have an idea in your head talk it to people as a normal conversation, to get their natural opinions. And don’t forget to jot down discreetly any new ideas you get from people. God may use other people to convey messages to you, that may add more information to the ideas you already have.

people god conversation head write messages idea library read internet information things-that-matter research new-ideas jot-down-discreetly natural-opinions read-as-much-as-you-can write-as-much-as-you-can

Novelists and the literary world play an important part in shaping languages. The Swahili they write influence the readers and their languages. The literary obstacle in Tanzania is not that people do not read, but that they don’t read because there are no interesting writers.

people writers write readers read novelists languages interesting-writers literary-obstacle literary-world shaping-languages swahili tanzania

Words are the bricks of our world and they have the power to change it.

change power words world bricks

I wanted to do something new. The world is becoming a global village and we have to understand these different cultures. There is a Danish culture, an Israeli culture and so on. So if you want to go to Denmark, then read the book.

book world cultures something read global-village something-new denmark danish-culture israeli-culture

My novels are set in a global space and pace. However, I have never visited most of the places. I wrote my first book in London but the story took the reader to places in Mexico, Denmark and Russia, and carefully avoided London. I access these global locations with my feet planted in front of my computer. I will use my internet connection to carefully enter the streets of a foreign city and find out how long it will take my main character to get from the airport to the city center – and if there are any shortcuts on the way. I wanted to do something new. The world is becoming a global village and we have to understand these different cultures. There is a Danish culture, an Israeli culture and so on. So if you want to go to Denmark, then read the book.

character book space world story london cultures novels places airport streets pace reader russia computer global-village global enter mexico feet shortcuts something-new set denmark danish-culture israeli-culture city-center different-cultures first-book foreign-city global-locations global-space internet-connection locations on-the-way

I have written all the 406 pages of my book in Swahili words. Even the countries are in Swahili. Instead of 'Nigeria', for example, I have written 'Nijeria'. That is how it is written in the Swahili dictionary. This can seem as a minor detail and that people may find my mission close to ridiculous! However, single letters and commas matter.

people words book commas countries ridiculous mission nigeria swahili 406-pages minor-detail nijeria single-letters swahili-dictionary

People speak broken Swahili on purpose. Business people for instance will speak Sheng – a mixture of Swahili and English – because that’s what people want to hear. And what is the government doing? They speak broken Swahili most of the time. Swahili is getting lost and I am really sorry for the future generations.

people lost purpose business sorry speak english government hear future-generations business-people swahili sheng broken-swahili

People think that other international languages are smarter and more business wise. But they have to understand that we have to preserve our culture.

people culture languages preserve smarter business-wise international-languages

Dictatorial government is more dangerous than lions!

government lions dictatorial-government

An Indian child is brought up in England, and he will speak both English and Hindi very well. English in school and Hindi at home. But here it’s English both in schools and at home. Why can’t you speak Swahili with your child at home? If this continues we will turn into an English speaking country.

school home child speak english turn england indian schools swahili hindi english-speaking-country

Live as you were created to live.

life live creation

To be able to influence Tanzanian literature and African literature, and sell our books in Tanzania as well as in our continent, we need to be committed to what we do. And what we do is writing. Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people, about things that matter. To make a living from writing, and make people read again in Tanzania and Africa; we must write very well, very good stories.

people books writing africa write influence library read internet things-that-matter research african-literature committed sell continent tanzania talk-to-people tanzanian-literature very-good-stories what-we-do write-very-well

No matter how talented or skilled you are, you will never reach your full potential without expert guidance.

dreams potential talent experts skill guidance full-potential expert-guidance

Read non-interesting books!

read soma interesting-books non-interesting-books vitabu-vinavyopendeza vitabu-visivyopendeza

Develop your soul into independence!

soul independence develop

If you are smart be simple. If you are powerful be generous. If you are rich be humble. If you want to be smart be simple. If you want to be powerful be generous. If you want to be rich be humble.

simple powerful rich humble smart akili generous nguvu mkarimu kawaida mnyenyekevu tajiri

Sex to me is not luxury any more. It is necessity of reproduction.

commitment

Clique em "Aceitar" para armazenar Cookies que serão usados para melhorar sua experiência, análise de estatísticas de uso e nos ajudar a aperfeiçoar nossos serviços. Saiba mais

Ícone branco Zenevenes
Política de Privacidade | Termos de Uso
Zenevenes.com © 2025